CONNEXION
  • RetourJeux
    • Sorties
    • Hit Parade
    • Les + populaires
    • Les + attendus
    • Soluces
    • Tous les Jeux
    • Gaming
  • RetourActu Gaming
    • News
    • Astuces
    • Tests
    • Previews
    • Toute l'actu gaming
  • RetourBons plans
    • Bons plans
    • Bons plans Smartphone
    • Bons plans Hardware
    • Bons plans Image et Son
    • Bons plans Amazon
    • Bons plans Cdiscount
    • Bons plans Decathlon
    • Bons plans Fnac
    • Tous les Bons plans
  • RetourJVTech
    • Actus High-Tech
    • Intelligence Artificielle
    • Smartphones
    • Mobilité urbaine
    • Hardware
    • Image et son
    • Tutoriels
    • Tests produits High-Tech
    • Guides d'achat High-Tech
    • JVTech
  • RetourCulture
    • Actus Culture
    • Culture
  • RetourVidéos
    • A la une
    • Gaming Live
    • Vidéos Tests
    • Vidéos Previews
    • Gameplay
    • Trailers
    • Chroniques
    • Replay Web TV
    • Toutes les vidéos
  • RetourForums
    • Hardware PC
    • PS5
    • Switch 2
    • Xbox Series
    • Switch
    • Pokemon pocket
    • FC 25 Ultimate Team
    • League of Legends
    • Tous les Forums
  • PC
  • PS5
  • Xbox Series
  • Switch 2
  • PS4
  • One
  • Switch
  • iOS
  • Android
  • MMO
  • RPG
  • FPS
En ce moment Genshin Impact Valhalla Breath of the wild Animal Crossing GTA 5 Red dead 2
Forum
  • Accueil
  • Actus
  • Tests
  • Vidéos
  • Images
  • Soluces
  • Forum
Liste des sujets

Vos 3 humoristes preférés

ANTI-psgay
ANTI-psgay
Niveau 3
13 novembre 2005 à 19:51:49

pr moi c :N.Canteloup,gad elmaleh et jamel

Sopran_baba
Sopran_baba
Niveau 10
13 novembre 2005 à 19:52:40

jamel et franck dubosc

DjibriL-9
DjibriL-9
Niveau 10
13 novembre 2005 à 19:52:56

1°) ANTI-PSGAY
2°) ANTI-PSGAY
3°) ANTI-PSGAY

alb69
alb69
Niveau 8
13 novembre 2005 à 19:53:09

djamel beddouze (c de l´humour)il tate 100% debouzze

10zizou
10zizou
Niveau 7
13 novembre 2005 à 19:53:18

chirac
villepin
sarko

pascal_selem
pascal_selem
Niveau 4
13 novembre 2005 à 19:53:41

moi

Vyse_the_legend
Vyse_the_legend
Niveau 7
13 novembre 2005 à 19:54:20

moi c´est:

1/ Gimenez
2/ Niang
3/ Meité

[-twiggy-]
[-twiggy-]
Niveau 10
13 novembre 2005 à 19:54:25

:d) Kad et olivier
:d) Dubosc
:d) Jamel, Gad El Maleh, Youn etc...

Sirieix
Sirieix
Niveau 23
13 novembre 2005 à 19:54:42

Moi : (pas dans l´ordre)

-Eric et Ramzy
-gad Elmaleh
-Elie Semoun
-Frank Dubosc
-Jean-Marie Bigard

coluche16
coluche16
Niveau 10
13 novembre 2005 à 19:54:47

Majaribio ya Chanjo ya Ukimwi kuanza nchini mwaka huu

2005-10-08 07:54:03
Na Haji Mbaruku

Wakati watalamu wa tiba za magonjwa sugu ukiwemo ukimwi wanaendelea na utafiti wa aina mbalimbali ili kupata chanjo na tiba ya ukimwi,hapa nchini baadaye mwaka huu inatarajiwa majaribio ya kwanza ya chanjo ya ukimwi kuanza kufanyika.

Majaribio ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI, iliyotengenezwa nchini Sweden kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Afya Muhimbili, yatarajiwa kuanza kutumika nchini kabla ya mwishoni mwa mwaka huu katika mkoa wa Dar es salaam.

Hata hivyo, majaribio ya chanjo hiyo nchini yatategemea matokeo ya majaribio ya dawa hiyo nchini Sweden, ambayo yalifanyika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu kwa watu 40 wenye afya njema kuchanjwa.

Kwa mujibu wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi, Tanzania hadi kufikia mwaka 2003, ilikuwa na watu milioni 1.8 wanaoishi na virusi vya UKIMWI ( NACP).

Wizara ya Afya inasema kuwa, baada ya matokeo ya chanjo hiyo nchini Sweden kuwa salama na kupata mafanikio, chanjo hiyo itaendelezwa katika Chuo Kikuu cha Sayansi ya Afya cha Muhimbili, kikishirikiana na Chuo Kikuu cha Karolinska cha Sweden pamoja na Taasisi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza ya Sweden.

Utafiti uliofanywa na Mpango wa Taifa wa kudhibiti UKIMWI, NACP na kuchapishwa kwenye jarida la Habari za UKIMWI linalotolewa na Wizara ya Afya unaonyesha kuwa, Taasisi zinazoshirikiana na Tanzania katika mkakati wa kutengeneza chanjo hiyo ni pamoja taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu ya Jeshi la umoja wa nchi za Amerika cha Walter Reed Army Institute, Chuo Kikuu cha Munich cha Ujerumani na Chuo Kikuu cha Cape Town nchini Afrika Kusini.

Pia, mipango ya kutengeneza chanjo ya UKIMWI inaendelea katika hospitali ya rufaa mkoani Mbeya.

Wizara ya Afya inasema kuwa, Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zimeathirika kwa kiwango kikubwa na ugonjwa hatari wa UKIMWI.Kutokana na kiwango kikubwa cha maambukizi ya virusi vya UKIMWI, chanjo ni muhimu kwa sababu itakuwa na uwezo wa kinga ya manufaa na ya kuaminika kwa watu wote watakaoshiriki.

Aina mbalimbali za virusi vya UKIMWI vinavyopatikana nchini ni tofauti na nchi nyingine, hivyo kuongeza umuhimu wa kufanya majaribio ya chanjo katika sehemu mbalimbali za nchi kunakopatikana aina tofauti ya virusi.

Kuanza kwa chanjo nchini kutatekelezwa chini ya mkakati wa chanjo ya UKIMWI wa Jamhuri ya Muungano nchini uliotengenezwa kwa ushirikiano na Shirika la Afya Duniani, WHO na Mpango wa Umoja wa Mataifa wa UKIMWI, UNAIDS pamoja na programu ya dawa ya chanjo ya UKIMWI katika Afrika, AAVP.

Lengo kuu la mkakati huu ni kutoa mwongozo kwa sekta mbalimbali za serikali, taasisi na kwa wanasayansi nchini, ambao wanafanya utafiti pamoja na wadau wengine wa Taifa na kimataifa.

Wengine ni Jumuiya za wananchi na mashirika yasiyo ya kiserikali ili kuendeleza utafiti wa utengenezaji na kujaribia aina mbalimbali za chanjo dhidi ya virusi vya UKIMWI.

Tangu jaribio la awali kabisa la chanjo ya UKIMWI kwa binadamu mwaka 1987, zaidi ya aina 30 za chanjo zimekwishafanyiwa majaribio kwa binadamu.

Majaribio hayo yako katika hatua za mwanzo katika kupima usalama kwa binadamu na kupima uwezo wa kujenga kinga mwilini.

Hata hivyo, ni aina mbili tu za chanjo iitwayo VAXGEN ndizo zilizofanyiwa majaribio katika hatua ya tatu dhidi ya maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI nchini Marekani na Thailand.

Ingawa chanjo hizo zote zimeonekana kuwa salama kwa binadamu, hakuna iliyoweza kutoa kinga kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI.

Wakati Taifa linaendelea na mikakati ya chanjo dhidi ya virusi vya UKIMWI, mikakati iliyopo wakati huu nchini itabidi iendelezwe. Mikakati ni pamoja na utoaji wa elimu ya kinga na kuongeza mwamko wa kutambua ugonjwa wa UKIMWI ili watu waweze kubadili tabia.

Mikakati mingine ni ushauri nasaha na upimaji wa hiari wa virusi vya UKIMWI ili wananchi waweze kujua iwapo wameambukizwa au la na kujua jinsi ya kuishi na kuzuia maambukizi mapya.

Iwapo majaribio ya chanjo yanayotarajiwa yatafanikiwa, zoezi la kuwachanja wananchi wote nchini litaanza kwa utaratibu utakaoandaliwa na wadau pamoja na wahusika wote.

Utafiti huo unaonyesha pia kuwa, idadi ya watu wanaojitokeza kupima Afya zao kwa hiari nchini imeongezeka, jambo linaloashiria kuwa uelewa kuhusu virusi vya UKIMWI na UKIMWI umeongezeka pia.

Kulingana na jarida hilo, Utafiti uliofanyika unaonyesha kuwa jumla ya watu 139,972 walijitokeza kupima afya zao mwaka 2003, ikilinganishwa na watu 47, 956 waliojitokeza mwaka uliotangulia wa 2002.

Wizara ya Afya inasema kuwa ongezeko hilo ambalo ni mara tatu ikilinganishwa na mwaka uliotangulia, linatokana na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa hamasa miongoni mwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutumia huduma za ushauri nasaha na upimaji wa hiari.

Pia, watu wengi hivi sasa wanapata taarifa kuhusu mpango wa taifa wa huduma na tiba ambao hivi karibuni umeanza kutoa dawa kupunguza makali ya UKIMWI.

Sababu nyingine iliyosababisha kuongezeka kwa idadi ya watu wanaojitokeza kupata ushauri na kupima ni kuongezeka kwa idadi ya vituo vua ushauri nasaha na upimaji.

Idadi ya vituo hivyo imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka kutoka vituo 59 mwaka 1997 hadi zaidi ya vituo 289 mwaka 2003.

Vituo 255 miongoni mwa hivyo, viko katika hospitali za serikali na zile za asasi za kidini, wakati 34 ni vya Angaza ambavyo viko chini ya shirika la Afya na Utafiti wa Tiba barani Afrika, AMREF.

Wizara hiyo inasema katika taarifa yake kuwa, jambo la kutia moyo katika utafiti huo, ambao umefanyika mwaka jana ni kuwa, ingawa idadi ya watu waliojitokeza kupima imeongezeka mara tatu, idadi ya watu waliopima na kukutwa na virusi imeonekana kupungua.

Kwa mfano, waliojitokeza na kupima katika vituo mbalimbali nchini kati ya mwaka 1997 na mwaka 2001, asilimia kati ya 59.5 na 76.0 ya watu walikutwa na virusi vya UKIMWI.

Hata hivyo, idadi ya waliojitokeza na kuonekana wameambukizwa, ilishuka hadi kufikia kati ya asilimia 18.9 mwaka 2002 na asilimia 18.4 mwaka 2003.

Takwimu hizo ni uthibitisho kuwa pamoja na sababu nyingine, idadi ya watu wanaokwenda kupima kwa hiari kwa lengo la kujua tu afya na kuwa makini zaidi ya kulinda afya yake kulingana na majibu atakayopata.

Mtu anapopima na kugundulika kuwa, ameambukizwa virusi vya UKIMWI, inamsaidia kujijua na kufuata taratibu na tahadhari mbalimbali ili yeye mwenyewe asiambukizwe na wala asiambukize wengine.

Aidha, wale wanaopima na kukutwa bado hawajaambukizwa virusi vya UKIMWI ambavyo baadhi vyaweza kuwa sugu kutokana na dawa zinazotumika za kupunguza makali, ARV,s.

Takwimu zinaonyesha kuwa, maelfu ya watu nchini wamekwishafariki kutokana na ugonjwa huo tangu ulipojitokeza zaidi ya miaka 20 iliyopita.

Hivi sasa inakadiriwa kuwa , kati ya watu 400,000 na 500,000, wanahitaji dawa za kupunguza makali ya UKIMWI miongoni wa wanaokadiriwa kufikia milioni mbili wanaougua ugonjwa huo.Dawa za kupunguza makali ya UKIMWI, hupunguza kasi ya kuzaliana kwa virusi vya UKIMWI na hivyo kupunguza makali ya ugonjwa huo.

Vile vile, husaidia kuongeza kinga ya mwili na kuboresha afya ya mgonjwa, utoaji na usambazaji wa dawa hizo kwa sasa ni muhimu miongoni mwa mikakati ya Taifa ya kudhibiti UKIMWI nchini.

Mkakati wa Taifa wa huduma za utoaji na usambazaji wa dawa za kupunguza makali ya UKIMWI, ulipitishwa na Baraza la mawaziri mnamo Oktoba 2003 na mkakati wa mwaka wa kwanza umeshakamilika.

Kwa mujibu wa mkakati, hadi kufikia mwishoni mwa Mei 2005, hospitali zote 96 zimeanza kutoa dawa.

DjibriL-9
DjibriL-9
Niveau 10
13 novembre 2005 à 19:55:10

coluche16 tu te répètes ! :(

mr_beaugeoire
mr_beaugeoire
Niveau 9
13 novembre 2005 à 19:55:25

moi j´aime bien les inconnus,
mais ceux ke je préfére le plus, c´est ceux qui ont fai le film "les trois frères" j´aime bien,
sinon j´aime bien aussi Campan, Bourdon et Légétimus ils son bien eux aussi :-)

micd
micd
Niveau 10
13 novembre 2005 à 19:55:39

1 M youn
2 gad
3 homer simpsons :dehors:

Sirieix
Sirieix
Niveau 23
13 novembre 2005 à 19:55:42

Ah j´ai oublié Jamel, Kad & O, et Les robins des bois

:honte: à moi

Om_Style
Om_Style
Niveau 10
13 novembre 2005 à 19:55:57

Pancrate
pichot
e.cissé

coluche16
coluche16
Niveau 10
13 novembre 2005 à 19:56:03

excuse moi djibril :-)))
voici un autre article edifiant sur le sujet :

266. Katika mwaka 2003, Serikali iliendelea kuimarisha ubora wa elimu kwa kutoa vifaa bora vya kufundishia na kujifunzia, kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia; kukarabati madarasa na kujenga mapya. Aidha, ilitoa mafunzo kwa walimu ambao hawajahitimu, kuongeza uwezo kwa wale walioko kazini, na kuajiri walimu wapya ili kukabiliana na ongezeko la wanafunzi. Pia, iliimarisha uongozi na utawala wa shule na asasi zake, na kufundisha walimu, wanafunzi na wafanyakazi wengine juu ya kinga dhidi ya UKIMWI, na utunzaji wa mazingira ya shule. Vile vile, wadau mbalimbali wa elimu wakiwemo mashirika yasiyo ya kiserikali, mashirika ya dini na watu binafsi walijitolea kwa njia mbalimbali katika utoaji wa elimu katika ngazi zote (elimu ya awali, msingi, sekondari, ualimu, na elimu ya juu).

Elimu ya Awali
267. Katika mwaka 2003, shule za awali zilikuwa 11,846, kati ya hizo shule 6,948 zilikuwa za serikali na 4,898 zilikuwa za watu binafsi. Katika mwaka 2002, shule za awali zilikuwa 9,569 ambapo shule 5,261 zilikuwa za serikali na 4,308 zilikuwa za watu binafsi. Sambamba na ongezeko la shule, idadi ya wanafunzi ilifikia 774,750 mwaka 2003 kutoka 313,310 mwaka 2002, ikiwa ni ongezeko la asilimia 147.3.

Elimu ya Msingi
268. Mwaka 2003 ulikuwa ni mwaka wa pili wa utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Elimu ya Msingi (MMEM) na mafanikio yalikuwa yameanza kuonekana. Idadi ya shule za msingi iliongezeka na kufikia 12,815 mwaka 2003 kutoka 12,211 mwaka 2002. Kati ya shule hizo 166 zilikuwa za watu binafsi ikiwa zimeongezeka kutoka shule 59 mwaka 2002. Pia, idadi ya wanafunzi iliongezeka kutoka 5,981,338 mwaka 2002 hadi 6,562,772 mwaka 2003, kati yao wanafunzi 6,531,769 walikuwa katika shule za serikali na 31,003 shule za watu binafsi. Aidha, kati yao, wasichana walikuwa asilimia 48.7 na wavulana asilimia 51.3. Vile vile, kiwango cha jumla cha uandikishaji kiliongezeka kutoka asilimia 98.6 mwaka 2002 hadi asilimia 105.3 mwaka 2003. Kiwango halisi cha uandikishaji kiliongezeka kutoka asilimia 80.7 mwaka 2002 hadi asilimia 88.5 mwaka 2003.

269. Katika mwaka 2003, kulifanyika ujenzi wa madarasa 13,342; ofisi za walimu 226; nyumba za walimu 997; vyoo vya shimo 14,700; na kuajiri walimu wapya 15,921 ili kukabiliana na ongezeko la wanafunzi na kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia. Jumla ya walimu katika shule za msingi ilifikia 114,660 mwaka 2003 ikiwa ni ongezeko la asilimia 2.3 kutoka walimu 112,109 waliokuwepo mwaka 2002. Wastani wa uwiano kati ya mwalimu na wanafunzi ulikuwa 1:57. Pia uwezo wa kamati za shule mbalimbali uliimarishwa kwa kushiriki katika warsha juu ya utawala, usimamizi wa fedha, usimamizi wa vifaa vya shule na uandaaji wa mipango ya shule.

Elimu ya Sekondari
270. Katika mwaka 2003 kulikuwa na shule za sekondari 1,083 ambapo 649 zilikuwa za serikali na 434 za watu binafsi, sawa na ongezeko la asilimia 6 kutoka shule 1,059 mwaka 2002. Idadi ya wanafunzi wa kidato cha I – IV ilikuwa ni 186,055 katika shule za serikali na 133, 432 katika shule binafsi; ambapo kwa kidato cha V-VI ilikuwa 14,665 katika shule za serikali na 11,289 katika shule binafsi. Idadi ya wanafunzi wa kidato I-IV iliongezeka kutoka 296,529 mwaka 2002 hadi 319,487 mwaka 2003, ikiwa ni ongezeko la asilimia 7.7. Idadi ya wanafunzi wa kidato cha V-VI ilipungua kutoka 26,789 mwaka 2002 hadi 25,954 mwaka 2003. Aidha, mgawanyo wa wanafunzi wavulana kwa wasichana wa kidato I-IV ulikuwa asilimia 53.4 kwa wavulana na asilimia 46.6 kwa wasichana. Mgawanyo wa wavulana kwa wasichana kwa wanafunzi wa kidato cha V – VI ulikuwa asilimia 65.5 kwa wavulana na asilimia 34.5 kwa wasichana.

271. Katika mwaka 2003, kulikuwa na walimu 16,399, kati yao 9,896 walikuwa shule za serikali na walimu 6,503 walikuwa shule za watu binafsi. Hili ni ongezeko la asilimia 3.4 kutoka walimu 15,837 mwaka 2002. Aidha, uwiano kati ya walimu na wanafunzi kwa kidato cha I - VI ulibakia ule ule wa 1:20 kwa shule za sekondari za serikali na uliongezeka kwa shule za binafsi kutoka 1:21 mwaka 2002 hadi 1:22 mwaka 2003. Mwaka 2003, serikali kwa kushirikiana na washirika wa maendeleo ya elimu waliandaa Mpango wa Maendeleo wa Elimu ya Sekondari (MMES) kwa ajili ya kipindi cha 2004-2009. Lengo kuu la MMES ni kuboresha utoaji wa elimu ya sekondari ili wanafunzi wengi watakaomaliza elimu ya msingi waweze kujiunga na elimu ya sekondari.

Mafunzo ya Walimu
272. Katika mwaka 2003, idadi ya vyuo vya ualimu ilikuwa 41 ambapo 34 vilikuwa vya serikali na 7 vya watu binafsi. Idadi ya walimu – wanafunzi daraja IIIA katika vyuo mbalimbali ilikuwa 22,487 katika vyuo vya serikali na 503 katika vyuo binafsi. Kati ya hawa, wanafunzi wanaume walikuwa 10,880 na wanawake 12,110. Mgawanyo kati ya walimu-wanafunzi wa kiume na kike ulikuwa asilimia 47.4 kwa wanaume na asilimia 52.6 kwa wanawake kwa vyuo vya ualimu vya serikali na asilimia 42.5 kwa wanaume na asilimia 57.5 kwa wanawake katika vyuo vya watu binafsi. Kwa upande wa vyuo vya Stashahada kulikuwa na walimu wanafunzi 4,930, kati yao 4,693 walikuwa katika vyuo vya serikali na 237 walikuwa katika vyuo vya watu binafsi. Katika vyuo hivyo idadi ya walimu-wanafunzi wa kiume walikuwa 3,108 na wa kike 1,822. Aidha, katika jitihada za kuongeza uwezo wa walimu, serikali iliendesha mafunzo ya kuwainua walimu wa daraja B na C na ililipia mafunzo ya wakufunzi 103 waliojiunga na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania mwaka 2003.

Ufundi na Elimu ya Juu
273. Katika mwaka 2003, kulikuwa na ongezeko la wanafunzi katika vyuo vya ufundi kutoka 2,223 mwaka 2002 hadi 2,292 mwaka 2003, ikiwa ni ongezeko la asilimia 3.1. Idadi ya wanafunzi wa kike ilikuwa 158 sawa na asilimia 7.1 ya wanafunzi wote mwaka 2002 ikilinganishwa na wanafunzi 202 sawa na asilimia 8.8 ya wanafunzi wote mwaka 2003. Aidha, katika vyuo vikuu vya Serikali idadi ya wanafunzi iliongezeka kutoka 16, 396 mwaka 2002 hadi kufikia 21,391 mwaka 2003, ikiwa ni ongezeko la asilimia 30. Idadi ya wanafunzi wa kike iliongezeka kutoka 3,935 au asilimia 24 ya wanafunzi wote mwaka 2002 hadi 5,990 sawa na asilimia 28 ya wanafunzi wote mwaka 2003. Katika vyuo binafsi, idadi ya wanafunzi iliongezeka kutoka 1,779 mwaka 2002 hadi 1,931 mwaka 2003, ikiwa ni ongezeko la asilimia 9. Idadi ya walimu katika vyuo vya ufundi ilipungua kutoka walimu 186 mwaka 2002 hadi 172 mwaka 2003, ikiwa ni upungufu wa asilimia 8. Katika vyuo vikuu vya Serikali, walimu waliongezeka kutoka 1,256 mwaka 2002 hadi 1,300 mwaka 2003, ikiwa ni ongezeko la asilima 4. Katika vyuo vikuu binafsi idadi ya walimu iliongezeka kutoka 278 mwaka 2002 hadi 307 mwaka 2003. Aidha, wastani wa uwiano wa walimu kwa wanafunzi ulikuwa 1:13 kwa vyuo vya ufundi, 1:16 kwa vyuo vikuu vya Serikali na 1:06 kwa vyuo vikuu vya watu binafsi.

DjibriL-9
DjibriL-9
Niveau 10
13 novembre 2005 à 19:57:17

Ah ! Me voilà déjà plus informé ! :-)))

Toubidou69
Toubidou69
Niveau 10
13 novembre 2005 à 19:58:12

coluche
dubosc
kad et olivier

XxpauletaxX
XxpauletaxX
Niveau 4
13 novembre 2005 à 20:00:15

moi hier jai eté voir eric et ramzy et franchement ils sont excellent
et ya aussi gad elmaleh et franck dubosc

La vidéo du moment